Kamanda Muliro amesema hali hiyo ni ya kawaida ya masuala ya kiusalama; haihusiana na maandamano ya Chadema. Majukumu ya vyama ni kuhakikisha wananchi wanapata elimu sahihi na ya kina kuhusu umuhimu ...
Tabora. Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wasiofahamika wamevamia na kuvunja sanamu la Mwalimu Nyerere lililopo mtaa wa Matola, Kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora, ambapo wameondoka na shingo ya ...
Tukio jingine ambalo watuhumiwa wamefikishwa mahakamani ni lililotokea usiku wa kuamkia Septemba 6, 2024 kuhusu mauaji katika Mtaa wa Muungano A, Kata ya Mkonze ambalo Mwamvita Mwakibasi (33) na mtoto ...
Kupitia video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii, Idrissa Makishe ambaye ni dereva wa bodaboda amedai tukio hilo ...
Machi 2023, kiongozi huyo wa jeshi nchini humo kupitia mtandao wake wa kijamii wa X alionyesha nia ya kugombea nafasi hiyo ...
Kumbukumbu ya mechi za nyuma zinaipa Yanga hali nzuri kisaikolojia kupata matokeo mazuri dhidi ya CBE ya Ethiopia leo kwenye ...
Marehemu alikuwa dereva bodaboda katika kijiwe cha Jangwani ambapo siku ya Septemba 19,2024 saa tatu usiku akiwa na pikipiki yake yenye namba za usajili MC827EHW, alikodiwa na watu ...
Mafia. Baadhi ya wanawake wilayani Mafia wanaojishughulisha na kilimo cha mwani na biashara ya samaki wametaja ukosefu wa ...
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linafanya doria jijini Dar es Salaam na viunga vyake kuanzia jana Septemba 20, 2024 askari ...
Walioachiwa huru ni Ramadhan Gumbo, Fahadi Salehe na Ashraf Hamis waliotetewa na mawakili, Abdul Azizi na Nehemia Mkoko ...
Pia, majukumu ya vyama hivyo si tu ya kusimamisha wagombea, bali pia kuhakikisha wananchi wanapata elimu sahihi na ya kina ...
Hali hiyo itawaruhusu wakulima kuona ushindani wa wanunuzi wa zao hilo kutoka maeneo mbalimbali duniani na kushiriki katika ...